Ũ

Teachers' Junction Teachers' Junction Author
Title:
Author: Teachers' Junction
Rating 5 of 5 Des:
HABARI NJEMA KWA WATANZANIA WOTE.           Habari za siku chache wa Tanzania na Wa Afrika kwa ujumla. Teachers’ Junction (Teachers ...
HABARI NJEMA KWA WATANZANIA WOTE.

          Habari za siku chache wa Tanzania na Wa Afrika kwa ujumla.
Teachers’ Junction (Teachers Networking Centre)
Tumekuwa kimnya kwa kipindi kodogo hii ni kutokana na Shule nyingi kuelekea mwisho wa muhula wa pili wa masomo .
Ingawa kuna baadhi ya shule wanaajiri msimu huu kabla ya kufunga shule.
Hii inatupekea sisi kuanza kupokea rasmi maombi kwa ajili ya msimu huu wa mwisho na mwakani 2015.

    HIVYO TUNAPOKEA MAOMBA KWA WALIMU WA MASOMO YOTE KWA LEVEL ZOTE kuanzia mwenye anaweza kufundisha Nursery hadi Advanced level.
  Hata hivyo kwa sasa tuna mahitajio ya walimu wa masomo ya Art na Science katika awamu.

     Kuanzia Tarehe 04th/11/2014 hadi 09th /11/2014 tutakuwa tunapeleka walimu wa Science:-
Sifa:                       Diploma au Degree
Mshahara:          Diploma not less than 500,000/=
                                Degree not less than 600,000/=
Location:              Tegeta na Mbagala Rangi 3 Dar es salaam.
Offer:                    Chakula cha Asuhuhi na Mchana

     Week inayoanza Tarehe 10th/11/2014 ni zamu ya masomo ya Art hivyo tutatangza kama hatutakuwa na walimu wa kutosha kwenye Data Base yetu hivyo ni bora uwahi ili kujihakikishia nafasi mwaka huu na mapema mwakani 2015.
      Hata hvyo ratiba inaweza kubadillika kuongoeza kama tutapata order nyingine yoyote, pia unawza kuona hujaitwa kwa post inayokuhusu inaweza kuwa ni shule hiyo hiyo umewahifanya au uko nje ya vigezo kama dini etc, inagawa utapelekwa nyingine.

                   Habari           Njema        ni        hiiiiiiiiiii.

      TEACHERS’ JUNCTION (Teachers’ Networking Centre) Tanzania Tunatarajia kumaliza makubaliano yetu ya mwisho na EDUCATION MANAGEMENT AND CONSULTANCY EAST AFRICA LIMITED (EMACO) Yenye makao makuu yake nchini Uganda.
    Baada ya makubaliano hayo sasa WALIMU na WENYE TAALUMA nyingine kama wataweza kufanyakazi Afrika Mashariki kwa maana ya Kenya,Unganda,Rwanda na Burundi.

   Ni fursa pekee kwa wasomi wa Nchini kujiweka ki-mataifa na kujitanua ili kuangalia firsa kwenye nchi nyingie naamini “TUNAWEZA”.
Utaratibu wa kuyafanya hayo utawekwa wazi soon after.

Unachotakiwa kufanya ni kulike facebook page yetu na kualiki kila ulienae kwenye account yako awe mwalimu au sio, hii itamuwezesha hao ulowa-add kupata post yoyote tunayotangza kasha kuona kama inamuhusu.

Teachers’ Junction Head office:
Magomeni Mapipa Dar es salaam
Near by Mapipa Police post
Phone: +255753-810857

Morogoro Branch:
+255783-810857 (soon)

Facebook page: www.facebook.com/teachers’junction
Blog: www.teacherjunction.blogspot.com
Email: teachersjunction@hotmail.com

Pia unaweza ku-like page yetu ya facebook na kumualika kila ambaye ungepanda apate updates zetu zoote.
(Education is a better safeguard of liberty than a standing army.)
“Teachers’ junction JOB IN REALITY”



About Author

Advertisement

Post a Comment

MOST READ

 
Top